iqna

IQNA

Wanawake katika Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Hajar Sa’eddin aliongoza Idhaa ya Qur’ani ya Misri kwa muda wa miezi 7. Alikuwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi hiyo.
Habari ID: 3476569    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/16